Maelezo ya Mahakama
Maelezo ya Shahidi
Maelezo ya Kuitwa Mahakamani
Kutolewa kwa Hati
Tarehe ya Sahihi ya Shahidi
Sahihi

Magistrates Court (Approved Forms for the Primary Court)


Gx. No. 943 (Contd.) FOMU JINAI - 8

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAHAKAMA YA TANZANIA

Katika Mahakama ya Mwanzo ya Wilaya ya ………………………………

Kituo cha ……………………………… Mkoa wa ………………………………

KUITWA SHAURINI SHAHIDI KATIKA SHAURI LA JINAI

(Aya ya 10 Nyongeza ya III ya Sheria ya Mahakama za Mahakimu)

KWA ………………………………

ANUANI ………………………………

SIMU ………………………………

UNAAMRIWA uhudhurie mbele ya Mahakama hii tarehe …… mwezi …… mwaka …… saa …… ……………………………… asubuhi/mchana ukiwa ni shahidi katika shauri lililotajwa hapo juu bila kukosa.

Endapo hutohudhuria katika siku iliyopangwa, hati ya kulkukamata itatolewa.

Hati hii imetolewa kwa Amri na Muhuri wa Mahakama leo tarehe …… mwezi …… mwaka ……

HAKIMU

Imetolewa leo tarehe …… mwezi …… mwaka ……

(Sahibi ya shahidi)

14