MAOMBI YA KUKAMATA MALI KUKAZA HUKUMU (FOMU MADAI 13)
Maelezo ya Mahakama
Wahusika
Orodha ya Mali Zinazoombwa Kukamatwa
Sahihi ya Muombaji
Magistrates Court (Approved Forms for the Primary Court)

GN. NO. 943 (Contd.) FOMU MADAI - 13
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MAHAKAMA YA TANZANIA

Katika Mahakama ya Mwanzo ya Wilaya ya

Kituo cha Mkoa

Shauri la Madai/Ndoa Na /20

Jina la mdai

Jina la Mdaiwa

MAOMBI YA KUKAMATA MALI KUKAZA HUKUMU
(Kanuni ya 62 ya Kanuni za Utaratibu wa Madai katika Mahakama za Mwanzo)

Kwa ombi hili, naiomba Mahakama hii kukamata mali za Mdeni Mhukumiwa kwa sababu za kushindwa kulipa deni/tuzo/fidia/mali ili kukaza hukumu kama ilivyotolewa tarehe Mwezi Mwaka

ORODHA YA MALI ZINAZOOMBWA KUKAMATWA

Maombi haya yameletwa leo, Tarehe Mwezi Mwaka

Sahihi ya Muombaji

HAKIMU

Data imehifadhiwa