FOMU YA NDOA - 1
Taarifa za Mahakama
Taarifa za Muombaji
Taarifa za Mjibu Maombi
Taarifa za Ndoa
Taarifa za Watoto
Mali Walizochuma Pamoja
Taarifa za Mwisho
Sahihi ya Muombaji
The Magistrates’ Courts (Approved Forms For The Primary Courts) (Amendments) Rules
GN. No. 427 (contd)
FOMU YA NDOA - 1

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAHAKAMA YA TANZANIA

Katika Mahakama ya Mwanzo ya Wilaya ya

Kituo cha Mkoa wa

Shauri la Ndoa Na. /20

Jina la Muombaji Jinsia

Makazi Umri

Anuani ya Makazi Kazi

Simu Barua Pepe

Jina la Mjibu Maombi Jinsia

Makazi Umri

Anuani ya Makazi Kazi

Simu Barua Pepe

HATI YA MAOMBI YA TALAKA/UTENGANO/TAMKO LA KUBATILISHA NDOA
(Vifungu vya 77, 81, 99 na 106 vya Sheria ya Ndoa)
  1. Maelezo ya ndoa kwa ufupi:
    (a) Taarifa za ndoa
Ndoa hii ni ya
Namba ya Cheti cha Ndoa
Mahali Ilipofungiwa
Muda Walioishi Pamoja

(b) Taarifa za watoto (Taja majina ya watoto na tarehe zao za kuzaliwa)

Jina la Mtoto Tarehe ya Kuzaliwa

(c) Taarifa za mali za pamoja (Toa maelezo ya mali, sehemu zilipo na makisio ya thamani)

Mali Sehemu Ilipo Makisio ya Thamani


  1. Sababu za maombi ya talaka/utengano au tamko la kubatilisha ndoa:

(a)

The Magistrates’ Courts (Approved Forms For The Primary Courts) (Amendments) Rules
  1. Taarifa za usuluhishi wa baraza la ndoa
  2. Maelezo ya mashauri yaliyotangulia
  3. Eleza kama kuna makubaliano yoyote kuhusu mgawanyo wa mali, matunzo au ulinzi wa watoto
  4. Nafuu zinazoombwa
  5. Ada za Mahakama
  6. Uthibitisho

Mimi nathibitisha kwamba maelezo yote yaliyotolewa hapo juu ni ya kweli kwa kadri ninavyojua,
Tarehe Mwezi Mwaka Mahali

............................
Saini ya Muombaji

Imepokelewa leo hii tarehe mwezi mwaka

...............................
Saini ya Karani/Hakimu
Data imehifadhiwa